Amani iwe juu ya roho zilizo jitolea kwa ajili yako, na zikasafiri kwa ajili yako, amani iwe juu ya Malaika wa Mwenyezi Mungu wanao kutumikia, nashuhudia kua ulisimamisha swala, ukatoa zaka, ukaamrisha mema na kukataza maovu, ulimuabudu Allah kwa ikhlasi hadi ulipo pata kifo, amani iwe juu yako na rehma na baraka za Mwenyezi Mungu.
28 Rajabu 1439h
Karbala tukufu, Iraq
photos_comments