Ewe Mola mtakie rehema Muhammad na Aali Muhammad na ujalie amani ya nyoyo zetu iwe katika kujata ukuu wako, na furaha ya miili yetu katika kushukuru neema zako na ndimi zitu zijishughulishe na kutaja sifa zako na neema zako
28 Rabiul-Aakhar 1442h – 2020m.
Karbala tukufu, Iraq
photos_comments